Kaimu Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameonekana katika televisheni ya taifa pamoja na maafisa wa jeshi na wa intelijensia jana na kutangaza kwamba vikosi tiifu zimefanikiwa kuzuia jaribio la mapinduzi lililofanywa na rais aliyejitangaza kuwa rais wa mpito, Juan Guaido.
Kujitokeza huko kumekuja baada ya mapambano kati ya waandmanaji na majeshi ya ulinzi ambayo yalianza mapema siku ya Jumanne baada ya Guaido kuwataka waungaji wake mkono kuanza hatua ya mwisho ya kumuondoa Maduro kutoka madarakani.
Kiongozi huyo wa upinzani alitoa wito kwa mgomo wa nchi nzima siku ya Alhamis kama ishara ya kuonesha nguvu dhidi ya Maduro.
Guaido aliiambia DW jana kuwa jeshi halimuungi tena mkono Maduro, licha ya idadi ndogo ya walioliasi jeshi, hakuna idadi kubwa ya waliondoka jeshini. Makabiliano makali yalizuka kati ya makundi karibu na kituo cha jeshi la anga cha Carlota, ambako Guaido alitangaza hatua yake hiyo ya awamu ya mwisho ya kumuondoa Maduro.
Related Posts
Rais Dk. Shein asisitiza wafanyakazi wa umma kufanya kazi katika mazingira mazuri
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa miongoni[...]
May 02, 2019Ibada za Kanisa Katoliki Zafutwa kwa Wiki Mbili
Ibada za Kanisa Katoliki zimefutwa kwa wiki ya pili katika mji mkuu wa Sri Lanka, Colombo, serikali[...]
May 02, 2019Wasanii Afrika Mashariki Waomboleza Msiba wa Mengi
Kundi la wasanii wa muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol, limeungana na Afrika nzima kuombeleza msi[...]
May 02, 2019Jeshi la Polisi Lafunguka Kuhusu Kutangaza Nafasi za Ajira
Jeshi la Polisi limesema kuwa halijatangaza nafasi za ajira katika chombo chochote cha habar[...]
May 02, 2019Freeman Mbowe amlilia Dkt.Reginald Mengi
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ametuma salamu pole kufuat[...]
May 02, 2019Kikosi cha Yanga SC kitakachocheza na Tanzania Prisons leo
Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL) kuendelea tena leo ambapo Yanga SC watacheza dhidi ya Tanzania Pr[...]
May 02, 2019
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.