0
Image result for prezzo na amber lulu



MWANADA-SHOSTI wa Bongo Fleva, Lulu Eugen ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa aliinjoi kinoma alipokuwa faragha na mpenzi wake ambaye ni mwanamuziki wa Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’.

Akichonga na Over Ze Weekend, Amber alisema kuwa, alishawahi kuwa kwenye uhusiano na wanaume tofauti, lakini kwa upande wa Prezzo ndiye pekee aliyemfurahia alipokuwa naye kwenye sita kwa sita.

“Kwa kweli nilipokuwa na Prezo kunako sita kwa sita niliinjoi sana tofauti kabisa na wanaume wengine,” alisema.

Post a Comment

 
Top