Mkali wa Bongofleva Edu Boy ameamua kumjibu Dogo Janja ile kauli aliyomuambia kuwa yeye ni mtoto na kumuambia kwa kusema Janja ameolewa na ndo maana anaona wenzake wadogo hivyo apambane na ndoa yake.
Akiongea na eNEWZ amesema kinachomsumbua Dogo Janja ni kwamba ameolewa na hajaoa, huenda baada ya yeye kufunga ndoa anahisi kwamba kila kitu kipo sawa kwake na kuwaona wasanii wenzake wadogo kiumri na hata kimaisha.
''Dogo Janja ni mdogo sana kwangu kiumri nina uwezo wa kumshika na kumpiga vibao kama mdogo wangu na akatulia asiniambie chochote, kumuoa Irene asione kama amemaliza kila kitu'', amesema.
Edu Boy pia amefunguka kuwa anasikia Stamina anamtafuta hivyo aende tu kwenye maeneo ambayo anapatikana kama studio za Mona Ganster atamkuta wamalizane.
Zaidi fuatilia ENEWZ ya EATV saa 12:00 jioni.
Related Posts
Rais Dk. Shein asisitiza wafanyakazi wa umma kufanya kazi katika mazingira mazuri
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa miongoni[...]
May 02, 2019Ibada za Kanisa Katoliki Zafutwa kwa Wiki Mbili
Ibada za Kanisa Katoliki zimefutwa kwa wiki ya pili katika mji mkuu wa Sri Lanka, Colombo, serikali[...]
May 02, 2019Wasanii Afrika Mashariki Waomboleza Msiba wa Mengi
Kundi la wasanii wa muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol, limeungana na Afrika nzima kuombeleza msi[...]
May 02, 2019Jeshi la Polisi Lafunguka Kuhusu Kutangaza Nafasi za Ajira
Jeshi la Polisi limesema kuwa halijatangaza nafasi za ajira katika chombo chochote cha habar[...]
May 02, 2019Freeman Mbowe amlilia Dkt.Reginald Mengi
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ametuma salamu pole kufuat[...]
May 02, 2019Kikosi cha Yanga SC kitakachocheza na Tanzania Prisons leo
Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL) kuendelea tena leo ambapo Yanga SC watacheza dhidi ya Tanzania Pr[...]
May 02, 2019
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.