0
Rais wa Zanzibar Dr Shein amesema atatoka madarakani pindi atakapomaliza muda wake wa kikatiba na kwamba habari za kuongeza muda kuwa miaka 7 hata yeye amezisikia. Dr Shein amesema swala la kuongeza muda linajadiliwa na Baraza la Wawakilishi na kamwe hawezi kuwaingilia maana huenda wanajadili muhula wa Rais atakayemfuatia. Dr Shein ameyasema hayo akiwa airport mara baada ya kuwasili akitokea ziarani katika nchi za falme za kiarabu.

Source ITV habari!

Post a Comment

 
Top