0

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilikuwa imemhukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya Tsh. Milioni 1.5, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kwa kosa la kutumia madawa ya kulevya aina ya  heroin na Oxazepam..

Msanii Agnes Gerald aka Masogange ameachiwa huru mara baada ya kulipa faini ya Sh milioni 1.5..

Post a Comment

 
Top