0

Hivi Karibu Pamekuwa na Tetesi kuwa Kifesi Mpiga picha wa Diamond Haelewani na Bosi Wake huyo huku Kifesi akionyesha ukaribu zaidi na Zari Hassan aliyekuwa Mpenzi wa Diamond, Leo ameamua kukata mzizi wa Fitina na kutangaza kuacha kazi WCB.......

From Kifesi - Leo ikiwa ni siku takatifu na siku ya ibada kwangu ni siku niloamua kufanya maamzi yatagobadili maisha yangu Nimeamua rasmi kuacha kazi kama. Mpiga picha wa Fiamond na mwajiriwa WCB..

Well It’s insane to be leaving a stable job u love But that’s reality for me naacha kaz kwa mtu alokua zaid ya Rafiki kwangu naacha kaz ambayo ni ndoto ya Vijana wengi out there but to me..i see miaka yngu 4/5 ya kufanya kaz hapa inatosha niachie nafasi kwa vijana wengine nimeamua kufata moyo wangu . . ni uamzi nilokua nao karibu mwaka sasa but kama ilivo kwa waajiriwa wengi is so hard kufnya maamzi ya kuacha kazi but IN ORDER TO GROW WE NEED TO MAKE CHANGE..

Naacha kazi to persue my Dreams life ikiwamo Kujiajiri mwenyewe.

Naacha kazi ili nipate muda mwingi wa kuwa flexible nitumie muda wangu mwingi ku-unleash my potential for excellence.  reason ya mwisho na kubwa zaid kwangu..

Naacha hii kazi ili niwe karibu zaidi na Mungu wangu kwa iman yangu kama. Mkristo nilikua nafanya kazi Katika lifestyle na mazingira ya kazi yasompendeza Mungu . . ni swala ambalo limenikosesha aman kwa miaka yote but at the end we need to choose GOD over everything.. Sifa ,maarufu na fahari yote ya Dunia vitanifaidia nn endapo nitaukosa ufalme wa Mungu...??

Nimeamaua ku drop kila kitu i just want to have peace of mind .. do my works .. live my life and hav time with God... Ukimchagua Mungu hata hiv vingine atakuongezea najua kutakua na changamoto nyingi.. Up and downs but Mungu He knew me b4 a was born aliahid ukimchagua yeye he will open the doors atatufnya kuwa Kichwa na cyo mkia.. Mwisho nashukuru familia yote ya wcb  kwa kua nami for all these yrs was great working with u.. but zaid nimshukuru Diamond kwa mda wote nlofnya nae kaz since chini mpka sasa.. Nimefanya kazi kwa mapenzi.. bidii na uaminifu mkubwa Kwangu haukua boss bali rafiki n nilkua rafik wa kweli kwako a will always appreciate mchango wako kwangu..

Tusameheane pale tulipowai koseana we are just humans ..hatutakua pamoja kikazi but  Nina iman tutaendelea kua marafiki. God bless u.. Uzidi kufika unapopenda kufika.. GOD Bless me.. God bless my next Hustles

Post a Comment

 
Top