0

KENYA: Mbunge apendekeza la kubadili Ibara ya 260 ya Katiba na kuweka ukomo wa umri wa kuwania urais. Wenye miaka zaidi ya 70 kutoruhusiwa

Moja ya sababu ya kuweka ukomo kwa umri wa kugombea urais ni watu walio na umri mkubwa kuwa na uzalishaji mdogo pamoja na kusumbuliwa na maradhi ya mara kwa mara

Endapo mapendekezo hayo yatapitishwa Raila Odinga(78) hatoweza kugombea katika uchaguzi wa mwaka 2022

Hata hivyo mabadiliko hayo hayatomuathiri Makamu wa Rais wa sasa, Willium Ruto anayetajwa kuwa atawania Urasi mwaka 2022

Post a Comment

 
Top