0
Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi ya nguoni kwa takribani wiki nzima...Pia amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali za uchochezi na zisizoeleweka kupitia mtandao huo

Post a Comment

 
Top