0
Aunt Ezekieli Afunguka Ugomvi Wake na Mose Iyobo "Hata Vikombe Vinagongana ila hata Iweje Siwezi Kumuacha"
Muigizaji Aunty Ezekiel amefunguka na kusema kuwa yeye na Mose Iyobo walipishana ambapo Mose alimjibu yeye vibaya ndipo akachukua maamuzi ya kuandika vile katika ukurasa wa instagram lakini pamoja na hayo Aunty Ezekiel amesema kuwa hawezi kuachana na Mose hata iweje licha ya kwamba amemzidi umri.

Aunty Ezekiel ameyazungumza hayo kwenye Exclusive interview wakati wa utambulisho wa msanii mpya wa WCB ambaye ni Maromboso ndipo Aunty akasema kuwa..>>>“Waswahili wanasema hata vikombe vinagongana mimi na Mose ni binadamu tupo karibu miaka minne so kitu hakiwezi pita bila kugombana, Huwa na muweka chini naongea naye mchana kweupe ila mimi na mose hatuwezi kuachana”

Post a Comment

 
Top