0

Mnasemaje? Wema hakuwa na mimba? Mnamaanisha watu wazima kabisaaa mkaaminishwa na mkapost kwenye accounts zenu! jamani eeh Mimba si matangazo, mimba haijifichi msipate shida .

.
Mnajua nini? Inachekesha but inatia uchungu na huruma Sana! Mtu anawezaje ku fake maisha? Yaani nahisi ni risk na gharama Sana kufurahisha watu! Why Wema kuhangaika na hizo mambo wakati unaweza kufanya vizuri zaidi!?! Why usiwe wewe? Na mbaya zaidi wanaoyasema ni watu wa karibu, habari zafikaje kwa media? Unazipeleka wewe au Marafiki!!?? Hivi huna ndugu wanaojitambua wakakushauri???
.
Mimba kutafutwa, matangazo,
Mimba kuingia, matangazo
Mimba kujaa tumboni, matangazo,
Mimba Radio Matangazo
Mimba social networks matangazo,
Mimba kuumwa tumbo, matangazo
Mimba chumba cha operation, Matangazo
Mimba kutoka, tena mapacha, matangazo
.
Matangazo, matangazo, drama drama, scandal scandal....kweli unayaweza! Ugua pole sidhani kama uko mzima! Kuna pepo limekaa mahali inabidi litolewe ndo utajitambua kwamba maisha si matangazo maana watu wataona ukweli mwisho wa siku!! tumia jina lako vizuri kutangaza zaidi Kazi zako, where is Endlessfame? inabidi i kiki kuliko mimba!! Fanya kazi tafuta Pesa, drama zina mwisho wake, but huwa haviingiagi kwenye ubongo so ni Kazi bure!!

By Mrekebishatabia

Post a Comment

 
Top