0
Mwigizaji wa filamu Tanzania Niva a.k.a Super Mario ameingia 'location ku shoot' filamu yake mpya inayoonesha maisha halisi aliyo pitia msanii wa Bongo Fleva Ney wa Mitego.

Hatu hiyo inakuja ikiwa ni sehem ya kujibu vijembe vya Ney alivyo vitoa kwenye wimbo wake na kuwagusa wasanii kadhaa wa movie akiwemo Niva.

Enews ilifanikiwa kumkuta msanii huyo akiwa katika kazi ya kushoot filamu hiyo ambayo inamdiss moja kwa moja Ney wa Mitego na kuonesha maisha ya Ney kabla ya kuwa Star wa Bongo fleva ili iwe funzo na kuacha kuwaimba wasanii wenzake.

Niva amesema kuwa mashabiki zake wamchukulie Ney kama mtu asiyejielewa na wakae tayari kusubiri Movie hiyo ambayo itakuwa funzo kwa Ney wa Mitego kwa tabia zake za kuwaimba wasanii.

Post a Comment

 
Top