0

Hali imezidi kuwa mbaya baada ya Masnii maarufu Ney wa Mitego kutoa nyimbo yake Mpya ya "SHIKA ADABU YAKO" Ambayo imepelekea nyimbo hiyo kuzua maneno ya kila aina juu ya mashahiri yake yalio wagusa baadhi ya wasanii hapa nchini..


Hata hivyo hali sio nzuri kwenye mitandao ya kijamii baada ya mashabiki wakila pande kutukanana na kutoleana maneno machafu. 


Baadhi ya mashabiki wa Team zilizo chambwa katika wimbo huo wamekuja na madai haya mapya juu ya Ney wa Mitego..

Post a Comment

 
Top