0

Jana Hoyce Temu Alilalamika kupitia Radio kuhusu kusemwa vibaya kwenye mitandao..Leo Mange ameibuka na kutolea ufafanuzi kwanini Hoyce Temu Ameingia katika Ugomvi wake na Rachel Temu mdogo wa Hoyce.....Ameandika hivi

"Okay nimesikiliza interview ya Hoyce Temu CloudsFm. I'm glad hakunilaumu Mimi peke yangu, Ila pia ingekuwa vizuri zaidi yeye Kama dada angekuwa fair na asingenilaumu mimi hata robo! .

Sometimes Embu tuweni fair Jamani. Hivi Jamani how many times nimejaribu kuepuka ugomvi na Rachel Miwaya? How many times nimekaa kimya? Na hata huu ugomvi Ulivyo anza si nilimtusi yeye Kama yeye nilimtaja ndugu yake au Mwana familia yake??? Nani alieanza mambo ya kutukana ndugu na Watoto? na mkumbuke alinitukaniavMarehemu baba yangu na still nikikaaa kimya simkutukana ndugu yake, then ni kampa warning kuwa akiendelea kutukana ndugu zangu ntamwanika dadake Hoyce Temu still akadhani I'm just bluffing. Nyie mnaonilaumu mnataka niwe na roho Kama ya Yesu?Kama Ni kumgeuzia shavu la pili I think nilimgeuzia Mara 70. Mtu anajifabya yeye ndo mvuta bangi wa Instagram mlitaka nifanye nini? Mtu anamtukana mwanangu mlitaka mimi nimtukane Nani wakati yeye hana mtoto? Mtu kawa tukana dada zangu mlitaka nimtukanie paka wake na sio dada yake? Mtu katukana baba yangu Marehemu mlitaka nitukane ndugu zake walio hai?Mnakuwa hamko fair at all. .

Imagine nilisema this year staki mabeef na Mtu , kwanini Mtu asichukulie hii as a sign of peace instead anachukulia as a weakness na kupata bichwa. Nilisema Na ntasema tena jamani 2016 Ni Mwaka wa kutafuta pesa staki shobo na Mtu. Ila Mtu anaponichokonoa for a long time sometimes na mimi nashindwa kuvumilia.

Hoyce unajua Mimi sina shida na wewe. Tatizo mdogo wako tu, huyu ndo adui yako, Huyo ndo mwiba kwenye maisha yako. Kila Mtu ana past yake na wengi mno ndoa zao pia zina Siri kibao Ila mdogo wako matusi yake yanafanya watu tunaongea Maneno mazito. Deal with Rachel kwanza Kabla ya Mtu mwingine yoyote Yule and you will live your life in peace.
.
Ni hayo tu jamani, just because nimesema sitaki ugomvi in 2016 it doesn't mean I'm weak au namuogopa mtu yoyote Yule it means nimekuwa, it means nazeeka naingiza 36 Mwaka huu soon ntakuwa 40 years sitaki kuwa in my 40s bado Niko mitandaoni nachambana na watu, so I'm making the change. But that doesn't mean eti mtu ndo ajifanye anataka kuni bully, ukinichokonoa sana ntakumalizaaaaaa!" Mange Kimambi

Post a Comment

 
Top